Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A ruler acting with royal authority in place of the sovereign in a colony or province.
Mtawala kaimu kwa mamlaka ya kifalme katika nafasi ya kiongozi kwenye koloni au jimbo.
The means of draining collectively, as a system of conduits, trenches, pipes, etc.
Njia ya kuondoa maji kwa pamoja, kama mfumo wa mifereji, mitaro, mabomba, nk.
The act or ceremony of naming a man or woman for office.
Kitendo au sherehe ya kumtaja mwanamume au mwanamke kwa ofisi.
To distinguish, as a disease, by its characteristic phenomena.
Kupambanua, kama ugonjwa, kwa sifa zake.
One who owes allegiance to a foreign government.
Mtu ambaye anatii serikali ya kigeni.
An employment limited to one particular line of work.
Ajira inayolenga ujuzi maalum ya kazi.
The manner in which individual words are articulated and pronounced in context.
Namna ambavyo maneno ya mtu binafsi hutolewa na kutamkwa katika muktadha.
God's saving intervention in history by which he liberated the Hebrew people from slavery in Egypt, made a covenant with them, and brought them into the Promised Land. The Book of Exodus, the second of the Old Testament, narrates this saving history (62). The ...
Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). ...
The property which a wife brings to her husband in marriage.
Mali ambayo mke huleta mumewe katika ndoa.
To have an earnest desire, wish, or longing, as for something high and good, not yet attained.
Kuwa na hamu ya kweli, kutaka, au matamanio, kama kwa kitu kizuri, na ambayo bado haijapatikana.