Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The developing knowledge a child possesses of words and text that is gained prior to the onset of formal instruction.
Maarifa endelezi aliyo nayo mtoto ya maneno na maandishi ambayo alipata kabla ya kuanza kwa mafundisho rasmi.
To take or send away forcibly, as to a penal colony.
Kuchukua au kufukuza kwa nguvu, kama kwa koloni ya adhabu.
To express disapproval or regret for, with hope for the opposite.
Kuonyesha kukasirika au majuto kwa, kwa matumaini ya kurekebisha.
Gossiping is a serious sin in Judaism. See Speech and Lashon Ha-Ra.
Ubukuzi ni dhambi kubwa katika Uyahudi. Tazama Hotuba na Lashon Ha-Ra.
An emotion which is not in itself wrong, but which, when it is not controlled by reason or hardens into resentment and hate, becomes one of the seven capital sins. Christ taught that anger is an offense against the fifth commandment (1765, 1866, 2262).
Hisia ambayo si mbaya, lakini isipodhibitiwa na sababu au kubadilika kuwa chuki, inakuwa moja ya dhambi saba kuu. Kristo alifundisha kwamba hasira ni kosa dhidi ya amri ya tano (1765, 1866, 2262).
A book of the Torah, or the writer of that book. The book is included in the Writings, not the Prophets, because by definition prophecies are meant to be proclaimed, and his visions were meant to be written, not proclaimed. See Prophets and Prophecy.
Kitabu cha Torati, au mwandishi wa kitabu hicho. Kitabu hicho kiko katika Maandiko, si kati ya Manabii, kwa sababu kwa ufafanuzi unabii ulifaa kutangazwa, na maono yake yalifaa kuandikwa, sio kutangazwa. Tazama Manabii na Unabii.
A length of 1,000 meters.
Urefu wa mita 1,000.
The trustworthiness of information critical to the credibility of a speech.
Kutegemewa kwa taarifa muhimu iliyo ya maana katika uaminifu wa hotuba.
An intermediate state where souls are made fit for paradise or heaven by expiatory suffering.
Hali ya kati ambapo roho hufanywa sawa kwa ajili ya paradiso au mbinguni kwa kupitia mateso.
The land of Israel, which G-d promised to Abraham and his descendants.
Nchi ya Israeli, ambayo Mungu aliahidi Ibrahimu na kizazi chake.