portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)audacious

Fearless.

Swahili (SW)jasiri

Shujaa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)rotate

To cause to turn on or as on its axis, as a wheel.

Swahili (SW)kuzunguka

Kusababisha kugeuka au kama kwenye mhimili wake, kama gurudumu .

Education; SAT vocabulary

English (EN)imitation

That which is made as a likeness or copy.

Swahili (SW)kuiga

Kile kinachoundwa kwa mfano wa au nakala.

Education; SAT vocabulary

English (EN)literal translation

A rendering which preserves surface aspects of the message both semantically and syntactically, adhering closely to source text mode of expression.

Swahili (SW)tafsiri halisi

Utoaji ambayo hulinda masuala ya juu ya ujumbe kisemantiki na kisintaksi, ukiandamana kwa karibu na namna ya kujieleza katika maandishi asili.

Language; Translation

English (EN)whisper

Attention-gaining device where presenter speaks with extremely low volume to one audience member.

Swahili (SW)mnong'ono

Njia ya kupata makini ambapo mtangazaji anaongea na sauti ya chini mno kwa mmoja wa watazamaji.

Language; Public speaking

English (EN)irreparable

That can not be rectified or made amends for.

Swahili (SW)kutorekebika

Kisichoweza kurekebishwa au kufanyiwa marekebisho.

Education; SAT vocabulary

English (EN)line

A mark that defines a shape, a contour, and, more generally, marks that make up the design of a picture. Lines are key to establishing structure and movement in a picture.

Swahili (SW)laini

Alama inayofasili umbo, kizingo, na, kwa ujumla zaidi, alama zinazounda mchoro wa picha. Mistari ni muhimu kwa kuanzisha muundo na mwenendo katika picha.

Art history; Visual arts

English (EN)bilingual

Possessing knowledge of two languages; typically it refers to a person who can speak and write two languages.

Swahili (SW)lugha mbili

Kuwa na ujuzi wa lugha mbili; kawaida inahusu mtu ambaye anaweza kuzungumza na kuandika katika lugha mbili.

Education; Teaching

English (EN)vulnerable

Capable of receiving injuries.

Swahili (SW)dhaifu

Ulio na uwezo wa kupata majeruhi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)bedaub

To smear over, as with something oily or sticky.

Swahili (SW)kupaka

Kupaka, kama kwa kitu chenye mafuta au kinachonata.

Education; SAT vocabulary