portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)socialism

A theory of civil polity that aims to secure the reconstruction of society.

Swahili (SW)ujamaa

Nadharia ya sera ya kiraia ambayo ina lengo la kujenga upya jamii.

Education; SAT vocabulary

English (EN)reliability

The trustworthiness of information critical to the credibility of a speech.

Swahili (SW)egemeo

Kutegemewa kwa taarifa muhimu iliyo ya maana katika uaminifu wa hotuba.

Language; Public speaking

English (EN)christian

A name derived from that of Christ himself. The name refers to all those who have been anointed through the gift of the Holy Spirit in Baptism; hence, the followers of Christ, the members of the Christian Church. According to Acts 11:26 "it was in Antioch ...

Swahili (SW)mkristo

Jina linalotokana na lile la Kristo mwenyewe. Jina linaashiria wale wote ambao wamepata upako kupitia kipawa cha Roho Mtakatifu katika ubatizo; hivyo basi wakawa wafuasi wa Kristo, washiriki wa Kanisa la Kikristo. Kulingana na Matendo 11:26 "ilikuwa huko ...

Religion; Catholic church

English (EN)errant

Roving or wandering, as in search of adventure or opportunity for gallant deeds.

Swahili (SW)tanga

Kuzunguka au kutangatanga, kama katika kutafuta tukio au fursa ya kujihusisha katika matendo ya kishujaa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)outburst

A violent issue, especially of passion in an individual.

Swahili (SW)hamaki

Suala la vurugu, hasa la hisia kali katika mtu binafsi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)denunciation

The act of declaring an action or person worthy of reprobation or punishment.

Swahili (SW)kukana

Kitendo cha kutangaza hatua au mtu kuwa anayestahili kukataliwa au kuadhibiwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)fumigate

To subject to the action of smoke or fumes, especially for disinfection.

Swahili (SW)kupuliza moshi

Kuweka kwenye moshi au mafusho, hasa kwa kutoa maambukizo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)vulgarity

Lack of refinement in conduct or speech.

Swahili (SW)ujuvi/ ufidhuli

Ukosefu wa ustaarabu katika mwenendo au matamshi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)endurance

The ability to suffer pain, distress, hardship, or stress of any kind without succumbing.

Swahili (SW)uvumilivu

Uwezo wa kipitia uchungu, huzuni, taabu, au dhiki ya aina yoyote bila kukabiliwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)enthusiastic

Full of zeal and fervor.

Swahili (SW)shauku

Kuwa na bidii na juhudi.

Education; SAT vocabulary