Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Churches of the East in union with Rome (the Western Church), but not of Roman rite, with their own liturgical, theological, and administrative traditions, such as those of the Byzantine, Alexandrian or Coptic, Syriac, Armenian, Maronite, and Chaldean rites. ...
Makanisa ya Mashariki katika muungano na Roma (Kanisa la Magharibi), lakini si ya ibada ya Kirumi, yaliyo na ibada yao ya kiliturujia, kiteolojia, na utawala wao wenyewe, kama vile yale ya Kibizantini, Iskanderia au Kikopti, Kisiria, Kiarmeni, Kimaroniti, na ...
To fret at the edge so as to loosen or break the threads.
Kukwaruza kwenye ukingo ili kulegeza au kuvunja nyuzi.
To subject to the action of smoke or fumes, especially for disinfection.
Kuweka kwenye moshi au mafusho, hasa kwa kutoa maambukizo.
something which gives one a better or superior position than another
kitu ambacho kinampa mtu nafasi bora au ya juu zaidi kuliko mwingine
A listing of all the books, periodicals, and other resources owned by a library.
Orodha ya vitabu, majarida, na rasilimali zingine zote zinazomilikiwa na maktaba.
A combination of different types of teas for flavor consistency from season to season.
Aina mbalimbali za chai zikichanganywa kwa ajili ya ladha nzuri kutoka msimu moja hadi mwingine.
To exist at a period or in a state earlier than something else.
Kuwepo kwa muda fulani au katika hali mapema kuliko kitu kingine.
The part of the introduction that identifies the main points to be developed in the body of the speech and presents an overview of the speech to follow.
Sehemu ya utangulizi inayobainisha pointi kuu za kuendelezwa katika hotuba na hutoa maelezo ya jumla ya hotuba inayofuata.
The branch of philosophy that deals with issues of right and wrong in human affairs.
Tawi la falsafa ambayo inahusika na masuala ya haki na batili katika mambo ya wanadamu.
The having, holding, or detention of property in one's power or command.
Kuwa na, kushikilia, au kukamata mali na kuweka katika mamlaka ya mtu.