Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
That part of the digestive tube below or behind the stomach, extending to the anus.
Ile sehemu ya bomba ya utumbo iliyoko chini au nyuma ya tumbo, na kupanua kwa njia ya haja kubwa.
A spiritual, personal, and immortal creature, with intelligence and free will, who glorifies God without ceasing and who serves God as a messenger of his saving plan (329-331). See Guardian Angels.
Kiumbe cha kiroho, kibinafsi, na ya milele, aliye na akili na utashi huru, na ambaye humtukuza Mungu bila kukoma na humtumikia Mungu kama mjumbe katika mpango wake wa kuokoa (329-331). Tazama Malaika Mlinzi.
A time in the middle of term when no classes are held. Reading break is designed to give students time to study and complete assignments.
Wakati katikati ya muhula ambapo hakuna masomo yanaendelea. Mapumziko ya masomo yameundwa ili kuwapa wanafunzi muda wa kusoma na kumaliza mazoezi.
Higher-order skill that allows other skills to be used and developed.
Ujuzi wa utaratibu wa hali ya juu ambao unaruhusu stadi nyingine kutumiwa na kuendelezwa.
Meriting or commanding high esteem.
Kustahili au kufaa kupewa heshima kubwa.
A person enrolled in at least one credit course at this university.
Mtu aliyejiunga na angalau mojawapo ya kozi katika chuo kikuu hiki.
A set of beliefs and practices followed by those committed to the service and worship of God. The first commandment requires us to believe in God, to worship and serve him, as the first duty of the virtue of religion (2084, 2135).
Seti ya imani na matendo inayofuatiwa na wale wenye nia ya huduma na ibada ya Mungu. Amri ya kwanza inatuhitaji sisi kuamini Mungu, kumuabudu na kumtumikia, kama wajibu wa kwanza kwa mujibu wa dini (2084, 2135).
A fabric to which a pattern is applied with a needle, designed for ornamental hangings.
Kitambaa ambacho muundo huwekwa kwa sindano, iliyoundwa kwa ajili ya chandarua ya mapambo.
The act or pratice of treating others unfairly, especially those who differ in national origin, race, religion, or social outlook.
Kitendo cha kuwatendea wengine isivyo haki, hasa wale ambao wanatofautiana katika asili ya kitaifa, rangi, dini, au mtazamo wa jamii.
Referring to a word or phrase you mentioned earlier in your presentation.
Linamaanisha neno au maneno yaliyotajwa awali katika mada yako.