Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Marital infidelity, or sexual relations between two partners, at least one of whom is married to another party. The sixth commandment and the New Testament forbid adultery absolutely (2380; cf. 1650).
Ukosefu wa uaminifu katika ndoa, au mahusiano ya kingono kati ya washirika wawili, angalau mmoja wao akiwa ameolewa na mwingine. Amri ya sita na Agano Jipya yamekataza uasherati kabisa (2380; taz 1650).
The dogma which recognizes the Blessed Virgin Mary's singular participation in her Son's Resurrection by which she was taken up body and soul into heavenly glory, when the course of her earthly life was finished (966).
Imani ambayo inatambua kushiriki kwa Bikira Maria katika ufufuo wa mwana wake ambapo yeye alichukuliwa mwili na roho katika utukufu wa mbinguni, wakati maisha yake ya kidunia yalipomalizika (966).
A body of troops consisting of two or more regiments.
Kikundi cha askari chenye vikosi viwili au zaidi.
The branch of philosophy that deals with issues of right and wrong in human affairs.
Tawi la falsafa ambayo inahusika na masuala ya haki na batili katika mambo ya wanadamu.
The having, holding, or detention of property in one's power or command.
Kuwa na, kushikilia, au kukamata mali na kuweka katika mamlaka ya mtu.
The chief of the bishops of an ecclesiastical province in the Greek, Roman, and Anglican church.
Mkuu wa Maaskofu wa jimbo la Kanisa la Kigiriki, Kirumi, na kanisa la Anglikana.
A title of honor or respectful address, equivalent to sir.
Jina la heshima au tamko lenye adabu, sawa na bwana.
Resorted to in a last extremity, or as if prompted by utter despair.
Kuamua chaguo la mwisho, au kama kulazimika kukata tamaa.
A question about whether a specific course of action should or should not be taken.
Swali kuhusu kama utekelezaji maalum unafaa au haufai kufanyika.
On a chart, a visual image symbolizing the information it represents.
Kwenye chati, picha iliyo mfano wa maelezo yanayowakilishwa.