portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)proof

An interpretation of evidence that provides a good reason for listeners to agree with the speaker.

Swahili (SW)ithibati

Tafsiri ya ushahidi ambayo hutoa sababu nzuri kwa wasikilizaji kukubaliana na msemaji.

Language; Public speaking

English (EN)testimonial

A statement, usually written, in support of a another's character or worth; a personal recommendation.

Swahili (SW)kauli

Taarifa ambayo kwa kawaida huandikwa, katika kuunga mkono tabia au thamani ya mtu mwingine; mapendekezo ya mtu binafsi.

Language; Public speaking

English (EN)insolence

Pride or haughtiness exhibited in contemptuous and overbearing treatment of others.

Swahili (SW)dhulma

Majivuno au kiburi inayoonekana katika tabia ya dharau na jabari kwenye utunzaji wa wengine.

Education; SAT vocabulary

English (EN)oblivion

The state of having passed out of the memory or of being utterly forgotten.

Swahili (SW)usahaulifu

Hali ya kuwa nje ya kumbukumbu au ya kusahaulika kabisa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)scintillate

To emit or send forth sparks or little flashes of light.

Swahili (SW)kumeremeta

Kutoa au kupeleka cheche au miangaza midogo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)immigrant

A foreigner who enters a country to settle there.

Swahili (SW)mhamiaji

Mgeni ambaye inaingia nchi kwa ajili ya kukaa huko.

Education; SAT vocabulary

English (EN)matrimony

The union of a man and a woman in marriage.

Swahili (SW)ndoa

Muungano wa mwanaume na mwanamke katika ndoa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)manliness

The qualities characteristic of a true man, as bravery, resolution, etc.

Swahili (SW)ume

Sifa au tabia za mwanamume, kama ushujaa, azimio, nk.

Education; SAT vocabulary

English (EN)antiquate

To make old or out of date.

Swahili (SW)kuzeesha

Kufanya kuzeeka au kupitwa na wakati.

Education; SAT vocabulary

English (EN)arraign

To call into court, as a person indicted for crime, and demand whether he pleads guilty or not.

Swahili (SW)kushtaki

Kuita mahakamani, kama mtu alishtakiwa kwa uhalifu, na kudai kama yeye amepatikana na hatia au la.

Education; SAT vocabulary