Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A story used to illustrate some important truth about a speaker’s topic.
Hadithi inayotumika kuelezea baadhi ya ukweli muhimu kuhusu mada ya msemaji.
To chew over again, as food previously swallowed and regurgitated.
Kutafuna tena, kama chakula kilichomezwa hapo awali na kikarudi.
Division of words into that which is uttered in a single vocal impulse.
Ugawaji wa maneno kuwa kile kinachotamkwa katika msukumo mmoja.
The mourning of the virgin mary and christ’s followers over jesus’ body after his crucifixion and the removal of his body or its descent from the cross, which is also called the deposition.
Maombolezo ya bikira Maria na wafuasi wa Kristo kwa sababu ya mwili wa Yesu baada ya kusulubiwa na kuondolewa kwa mwili wake au kuteremshwa kwake kutoka kwa msalaba, ambayo pia hujulikana utuaji.
The portion of the whole audience that the speaker most wants to persuade.
Sehemu ya watazamaji ambao msemaji anataka kuwashawishi zaidi.
A leader who makes decisions without consultation, issues orders or gives direction, and controls the members of the group through the use of rewards or punishments.
Kiongozi ambaye hufanya maamuzi bila ya kushauriana, hutoa amri au mwelekeo, na hudhibiti wanachama wa kundi kwa njia ya tuzo au adhabu.
Terms that are used to describe blood or family relations within a group.
Maneno ambayo hutumiwa kuelezea mahusiano ya damu au familia katika kikundi.
One who uses or engages the services of other persons for pay.
Mtu ambaye hutumia huduma ya watu wengine kwa ajili ya kulipa.
A member of one of the three tribes that dwelt in the land of Canaan, or western Palestine.
Mmoja wa makabila tatu waliokaa katika nchi ya Kanaani, au magharibi mwa Palestina.
To cut, shave, or remove (the outside) from anything.
Kukata, kunyoa, au kuondoa (nje) kwa kitu chochote .