portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)persecution

The act or pratice of treating others unfairly, especially those who differ in national origin, race, religion, or social outlook.

Swahili (SW)mateso

Kitendo cha kuwatendea wengine isivyo haki, hasa wale ambao wanatofautiana katika asili ya kitaifa, rangi, dini, au mtazamo wa jamii.

History; Medieval

English (EN)bosom

The breast or the upper front of the thorax of a human being, especially of a woman.

Swahili (SW)kifua

Matiti au mbele ya juu ya kifua ya binadamu, hasa kwa mwanamke.

Education; SAT vocabulary

English (EN)target audience

The portion of the whole audience that the speaker most wants to persuade.

Swahili (SW)walengwa

Sehemu ya watazamaji ambao msemaji anataka kuwashawishi zaidi.

Language; Public speaking

English (EN)name-calling

The use of language to defame, demean, or degrade individuals or groups.

Swahili (SW)tusi

Matumizi ya lugha katika kukashifu, kudharau, au kudunisha watu binafsi au makundi.

Language; Public speaking

English (EN)abortion

Judaism permits abortion in appropriate circumstances, and sometimes even requires abortion.

Swahili (SW)kuavya mimba

Uyahudi huipa kibali utoaji mimba katika hali sahihi, na wakati mwingine hata inahitaji utoaji mimba.

Religion; Judaism

English (EN)exclamation

An abrupt or emphatic expression of thought or of feeling.

Swahili (SW)mshangao

Usemi wa ghafla au wa mkazo wa mawazo au hisia.

Education; SAT vocabulary

English (EN)heredity

Transmission of physical or mental qualities, diseases, etc. , from parent to offspring.

Swahili (SW)urithi

Kupitishwa kwa sifa za kimwili au kiakili, magonjwa, nk , kutoka kwa mzazi hadi watoto.

Education; SAT vocabulary

English (EN)superadd

To add in addition to what has been added.

Swahili (SW)kuongeza

Kuongeza kwa kile kimeongezwa tayari.

Education; SAT vocabulary

English (EN)arraign

To call into court, as a person indicted for crime, and demand whether he pleads guilty or not.

Swahili (SW)kushtaki

Kuita mahakamani, kama mtu alishtakiwa kwa uhalifu, na kudai kama yeye amepatikana na hatia au la.

Education; SAT vocabulary

English (EN)mockery

Ridicule.

Swahili (SW)udhihaki

Kejeli.

Education; SAT vocabulary