Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
One who represents a client in court of justice; an attorney.
Yule anayewakilisha mteja katika mahakama ya haki; wakili .
Exempt from error of judgment, as in opinion or statement.
Kuepuka kosa la hukumu, kama kwa maoni au taarifa.
To fret at the edge so as to loosen or break the threads.
Kukwaruza kwenye ukingo ili kulegeza au kuvunja nyuzi.
A summary of a magazine or journal article, written by someone other than the original author.
Muhtasari wa gazeti au makala ya jarida, ulioandikwa na mtu mwingine, asiye mwandishi wa asili.
The credibility of a speaker produced by everything she or he says and does during the speech.
Uaminifu wa msemaji unaotokana na kila kitu yeye husema na kufanya wakati wa hotuba yake.
To make a demand or repeated demands on for payment.
Kudai au kuitisha mara kwa mara juu ya kwa ajili ya malipo.
A Hebrew word meaning "anointed" (436). See Christ; Jesus Christ.
Neno la Kiebrania linalomaanisha "aliyepakwa" (436). Tazama Kristo; Yesu Kristo.
Profanation of or irreverence toward persons, places, and things which are sacred, i.e., dedicated to God; sacrilege against the sacraments, especially the Eucharist, is a particularly grave offense against the first commandment (2120).
Kufuru ya au kutoabudu watu, maeneo, na vitu ambavyo ni vitakatifu, yaani, vilivyowekwa wakfu kwa Mungu; kufuru dhidi ya sakramenti, hasa Ekaristi, ni kosa la kubwa dhidi ya amri ya kwanza (2120).
To cause to burst in pieces by force from within.
Kusababisha kupasuka vipande vipande kwa nguvu kutoka ndani.
The act or ceremony of naming a man or woman for office.
Kitendo au sherehe ya kumtaja mwanamume au mwanamke kwa ofisi.