portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)viceroy

A ruler acting with royal authority in place of the sovereign in a colony or province.

Swahili (SW)gavana

Mtawala kaimu kwa mamlaka ya kifalme katika nafasi ya kiongozi kwenye koloni au jimbo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)drainage

The means of draining collectively, as a system of conduits, trenches, pipes, etc.

Swahili (SW)kuondoa maji

Njia ya kuondoa maji kwa pamoja, kama mfumo wa mifereji, mitaro, mabomba, nk.

Education; SAT vocabulary

English (EN)nomination

The act or ceremony of naming a man or woman for office.

Swahili (SW)uteuzi

Kitendo au sherehe ya kumtaja mwanamume au mwanamke kwa ofisi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)diagnose

To distinguish, as a disease, by its characteristic phenomena.

Swahili (SW)kutambua

Kupambanua, kama ugonjwa, kwa sifa zake.

Education; SAT vocabulary

English (EN)alien

One who owes allegiance to a foreign government.

Swahili (SW)mgeni

Mtu ambaye anatii serikali ya kigeni.

Education; SAT vocabulary

English (EN)specialty

An employment limited to one particular line of work.

Swahili (SW)utaalamu

Ajira inayolenga ujuzi maalum ya kazi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)enunciation

The manner in which individual words are articulated and pronounced in context.

Swahili (SW)tamko

Namna ambavyo maneno ya mtu binafsi hutolewa na kutamkwa katika muktadha.

Language; Public speaking

English (EN)exodus

God's saving intervention in history by which he liberated the Hebrew people from slavery in Egypt, made a covenant with them, and brought them into the Promised Land. The Book of Exodus, the second of the Old Testament, narrates this saving history (62). The ...

Swahili (SW)kutoka

Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). ...

Religion; Catholic church

English (EN)dowry

The property which a wife brings to her husband in marriage.

Swahili (SW)mahari

Mali ambayo mke huleta mumewe katika ndoa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)aspire

To have an earnest desire, wish, or longing, as for something high and good, not yet attained.

Swahili (SW)kutamani

Kuwa na hamu ya kweli, kutaka, au matamanio, kama kwa kitu kizuri, na ambayo bado haijapatikana.

Education; SAT vocabulary