Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Any assemblage of pupils for real research in some specific study under a teacher.
Mkusanyiko wowote wa wanafunzi kwa ajili ya utafiti halisi katika somo maalum ukiongozwa na mwalimu.
promulgate, to proclaim, proclamation, promulgation, for example proclaim a revolution.
kutangaza, kuwatangazia, tangazo, kupitishwa, kwa mfano kutangaza mapinduzi.
Varieties of different backgrounds of a group of individuals that often require using a variety of methods of instruction.
Asili mbalimbali ya watu walio katika kikundi ambazo mara nyingi zinahitaji kutumia aina tofauti ya mbinu za kufundishia.
To bring from a state of angry or hostile feeling to one of patience or friendliness.
Kubadili kutoka hali ya hasira au hisia uhasama na kuwa ule wa subira au urafiki.
Sexual intercourse between an unmarried man and an unmarried woman. Fornication is a serious violation of the sixth commandment of God (2353).
Kujamiiana kati ya mwanamumw ambaye bado hajaolewa na mwanamke ambaye bado hajaolewa. Uasherati ni ukiukwaji mkubwa wa amri ya sita ya Mungu (2353).
To add in addition to what has been added.
Kuongeza kwa kile kimeongezwa tayari.
Judaism permits abortion in appropriate circumstances, and sometimes even requires abortion.
Uyahudi huipa kibali utoaji mimba katika hali sahihi, na wakati mwingine hata inahitaji utoaji mimba.
One who is dissatisfied with the existing state of affairs.
Mtu ambaye hajaridhika na hali iliyopo ya mambo.
That which moves the mind or inflames the passions.
Kitu ambacho huchangamsha akili au huchochea tamaa.
A collection of three to twelve people that assemble for a specific purpose.
Mkusanyiko wa watu watatu hadi kumi na mbili ambao wamekusanyika kwa madhumuni maalum.