Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A formal conversation in which two or more take part.
Gumzo rasmi ambayo watu wawili au zaidi huhusika.
To withhold permission or sanction.
Kuizuia ruhusa au idhini.
Internal forces that impel action and direct human behavior toward specific goals.
Vikosi vya ndani vinavyochochea hatua na mwenendo wa moja kwa moja wa binadamu kwa malengo maalum.
A term in commercial translation referring to making a product linguistically and culturally appropriate to the target country and language.
Neno linalotumika katika tafsiri kibiashara linalomaanisha kuunda lugha kiisimu na kitamaduni inayofaa katika nchi na lugha lengwa.
To make a preliminary examination of for military, surveying, or geological purposes.
Kufanya uchunguzi wa awali kwa ajili ya kijeshi, upimaji, au madhumuni kijiolojia.
The state of having passed out of the memory or of being utterly forgotten.
Hali ya kuwa nje ya kumbukumbu au ya kusahaulika kabisa.
A word having the same or almost the same meaning as some other.
Neno lililo na maana sawa au karibu sawa na neno lingine.
The first of the seven sacraments, and the "door" which gives access to the other sacraments. Baptism is the first and chief sacrament of forgiveness of sins because it unites us with Christ, who died for our sins and rose for our justification. Baptism, ...
Ya kwanza kwa sakramenti saba, na " mlango " ambao unafungua njia kwa sakramenti zingine. Ubatizo ni wa kwanza na sakramenti kuu ya msamaha wa dhambi kwa sababu unatuunganisha na Kristo, ambaye alikufa kwa dhambi zetu na kufufuka kwa kuhesabiwa haki kwetu. ...
A violent and abnormal muscular contraction of the body.
Mkandamano wa misuli ya mwili wenye vurugu na usiokuwa wa kawaida.
To fret at the edge so as to loosen or break the threads.
Kukwaruza kwenye ukingo ili kulegeza au kuvunja nyuzi.