Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
To relinquish, especially temporarily, as a right or claim.
Kuachia, hasa kwa muda, kama haki au madai.
Terms that are used to describe blood or family relations within a group.
Maneno ambayo hutumiwa kuelezea mahusiano ya damu au familia katika kikundi.
1) Son of Jacob (Israel). Ancestor of one of the tribes of Israel; 2) The tribe that bears his name.
1) Mwana wa Yakobo (Israeli). Babu wa moja ya makabila ya Israeli ; 2) kabila lenye jina lake.
(1) The part of a church set apart for the principal rites of worship (cf. 1183). (2) A shrine or place of pilgrimage (1674).
(1) sehemu ya kanisa iliyotengwa kwa shughuli kuu za ibada (sawa na 1,183). (2) mahali patakatifu au mahali pa hija (1674).
The function of seeing, hearing, smelling, touching or tasting.
Kazi ya kuona, kusikia, kunusa, kugusa au kuonja.
Capricious.
Badilifu.
Pride or haughtiness exhibited in contemptuous and overbearing treatment of others.
Majivuno au kiburi inayoonekana katika tabia ya dharau na jabari kwenye utunzaji wa wengine.
Verb: Bind or compel (someone), esp. legally or morally. Adjective: Restricted to a particular function or mode of life.
Kitendo: Kumfunga au kumlazimisha (mtu), hasa kisheria au kimaadili. Kivumishi: Kukomeshwa katika kazi fulani au hali ya maisha.
Ability to organize and present information in a visual representation.
Uwezo wa kuandaa na kuwasilisha taarifa katika hali inayoonekana.
Wife of Jacob. Mother of six of his sons. Sister of Rachel. One of the Matriarchs of Judaism.
Mke wa Yakobo. Mama wa wana wake sita. Dada ya Raeli. Mmoja wa mama wakongwe wa Uyahudi.