Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A definite amount paid at stated periods in compensation for services or as an allowance.
Kiasi dhahiri kinacholipwa katika vipindi maalum kama fidia kwa ajili ya huduma au kama posho.
Both God's gift of created human life and His divine life given to us as sanctifying grace. Beyond its ordinary meaning of human life, Jesus used "life" to signify a share in his own divine Trinitarian existence, which becomes possible for those who respond ...
Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko ...
A heading, as of a chapter, section, document, etc.
Kichwa, kama katika sura, sehemu, hati, nk.
To wish joy or happiness to, especially in view of a coming event.
Kutakia furaha au fahari kwa, hasa katika mtazamo wa tukio ijayo.
One who pleads the cause of another, as in a legal or ecclesiastical court.
Mtu anayemtetea mwingine, kama katika mahakama ya kisheria au ya Kanisa.
Having and exercising the power to produce effects or results.
Kuwa na kuonyesha uwezo wa kuleta matokeo.
Wife of Isaac. Mother of Jacob and Esau. One of the Matriarchs of Judaism.
Mke wa Isaka. Mama wa Yakobo na Esau. Mmoja wa mama wakongwe wa Uyahudi.
Jewish practices of sacrifices and offerings were extensive in ancient times, but have not been practiced since our Temple was destroyed, because we are not permitted to bring offerings anywhere else.
Mazoea ya Wayahudi ya kutoa dhabihu na sadaka yalikuwa kubwa katika nyakati za zamani, lakini hayajatumika tangu Hekalu letu lilipoharibiwa, kwa sababu sisi haturuhusiwi kuleta sadaka mahali popote.
One who owes allegiance to a foreign government.
Mtu ambaye anatii serikali ya kigeni.
A ruler acting with royal authority in place of the sovereign in a colony or province.
Mtawala kaimu kwa mamlaka ya kifalme katika nafasi ya kiongozi kwenye koloni au jimbo.