Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A theory of civil polity that aims to secure the reconstruction of society.
Nadharia ya sera ya kiraia ambayo ina lengo la kujenga upya jamii.
The trustworthiness of information critical to the credibility of a speech.
Kutegemewa kwa taarifa muhimu iliyo ya maana katika uaminifu wa hotuba.
A name derived from that of Christ himself. The name refers to all those who have been anointed through the gift of the Holy Spirit in Baptism; hence, the followers of Christ, the members of the Christian Church. According to Acts 11:26 "it was in Antioch ...
Jina linalotokana na lile la Kristo mwenyewe. Jina linaashiria wale wote ambao wamepata upako kupitia kipawa cha Roho Mtakatifu katika ubatizo; hivyo basi wakawa wafuasi wa Kristo, washiriki wa Kanisa la Kikristo. Kulingana na Matendo 11:26 "ilikuwa huko ...
Roving or wandering, as in search of adventure or opportunity for gallant deeds.
Kuzunguka au kutangatanga, kama katika kutafuta tukio au fursa ya kujihusisha katika matendo ya kishujaa.
A violent issue, especially of passion in an individual.
Suala la vurugu, hasa la hisia kali katika mtu binafsi.
The act of declaring an action or person worthy of reprobation or punishment.
Kitendo cha kutangaza hatua au mtu kuwa anayestahili kukataliwa au kuadhibiwa.
To subject to the action of smoke or fumes, especially for disinfection.
Kuweka kwenye moshi au mafusho, hasa kwa kutoa maambukizo.
Lack of refinement in conduct or speech.
Ukosefu wa ustaarabu katika mwenendo au matamshi.
The ability to suffer pain, distress, hardship, or stress of any kind without succumbing.
Uwezo wa kipitia uchungu, huzuni, taabu, au dhiki ya aina yoyote bila kukabiliwa.
Full of zeal and fervor.
Kuwa na bidii na juhudi.