Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The state of progressive restoration to health and strength after the cessation of disease.
Hali ya marejesho kwa afya na nguvu baada ya kudhoofika kwa ugonjwa.
To express, formulate, or exemplify in a concrete, compact or visible form.
Kueleza, kuunda, au kuonyesha katika hali dhabiti, imara au fomu inayoonekana.
The use of language in the creation of well-formed texts.
Matumizi ya lugha katika uundaji wa maandiko mazuri.
Churches of the East in union with Rome (the Western Church), but not of Roman rite, with their own liturgical, theological, and administrative traditions, such as those of the Byzantine, Alexandrian or Coptic, Syriac, Armenian, Maronite, and Chaldean rites. ...
Makanisa ya Mashariki katika muungano na Roma (Kanisa la Magharibi), lakini si ya ibada ya Kirumi, yaliyo na ibada yao ya kiliturujia, kiteolojia, na utawala wao wenyewe, kama vile yale ya Kibizantini, Iskanderia au Kikopti, Kisiria, Kiarmeni, Kimaroniti, na ...
To yield to or display intense and rapturous feeling.
Kuashiria au kuonyesha hisia za kina na za kububujikwa na furaha.
To make old or out of date.
Kufanya kuzeeka au kupitwa na wakati.
Examination of two or more objects with reference to their likeness or unlikeness.
Uchunguzi wa vitu viwili au zaidi kwa kuzingatia kufanana au kutofanana kwao.
To take, demand, or claim, especially presumptuously or without reasons or grounds.
Kuchukua, kuitisha, au kudai, hasa kwa kujikinai au bila sababu zozote.
Capable of receiving injuries.
Ulio na uwezo wa kupata majeruhi.
The eternal retribution received by each soul at the moment of death, in accordance with that person's faith and works ("the particular judgment") (1021-1022). The "Last Judgment" is God's triumph over the revolt of evil, after the final cosmic upheaval of ...
Adhabu ya milele inayopokewa na kila nafsi wakati wa kifo, kwa mujibu wa imani ya mtu huyo na matendo ("hukumu fulani") (1021-1022). "Hukumu ya Mwisho" ni ushindi wa Mungu juu ya uasi wa uovu, baada ya mageuzi ya mwisho ya ulimwengu ya dunia hii inayopita. ...