Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Emancipation.
Ukombozi.
A list of all the sources used in preparing a speech.
Orodha ya vyanzo vyote vinavyotumika katika kuandaa hotuba.
A ceremonial speech that recognizes the achievements of individuals or groups or commemorates special events.
Hotuba ya kisherehe ambayo inatambua mafanikio ya watu binafsi au vikundi au huadhimisha matukio maalum.
A formal summary of fundamental points of religious belief.
Muhtasari rasmi wa vipengee msingi vya imani za kidini.
The ethical doctrine that actions are right because they are useful or of beneficial tendency.
Mafundisho ya kimaadili kwamba vitendo ni haki kwa sababu vina umuhimu au manufaa.
Of, pertaining to, or of the nature of vinegar.
Ya, yanayohusu, au ya asili ya siki.
Seeming likely to be true, though open to doubt.
Kudai uwezekano wa kuwa kweli, ingawa inaweza kuwa na shaka.
A name derived from that of Christ himself. The name refers to all those who have been anointed through the gift of the Holy Spirit in Baptism; hence, the followers of Christ, the members of the Christian Church. According to Acts 11:26 "it was in Antioch ...
Jina linalotokana na lile la Kristo mwenyewe. Jina linaashiria wale wote ambao wamepata upako kupitia kipawa cha Roho Mtakatifu katika ubatizo; hivyo basi wakawa wafuasi wa Kristo, washiriki wa Kanisa la Kikristo. Kulingana na Matendo 11:26 "ilikuwa huko ...
Ridicule.
Kejeli.
To make gestures or motions, as in speaking, or in place of speech.
Kufanya ishara au mienendo, kama wakati wa kuzungumza, au kwa nafasi ya hotuba.