Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A virtual environment that allows people to communicate instantaneously over the Internet; typically the communications are sent by typing messages that are relayed to all people in the chat room, but some chat rooms allow communication via voice or video.
Mazingira pepe ambayo yanaruhusu watu kuwasiliana papo hapo kwenye mtandao; kawaida mawasiliano hutumwa kwa kuandika jumbe zinazotumwa kwa watu wote katika chumba cha gumzo, lakini baadhi vyumba vya gumzo huruhusu mawasiliano kupitia sauti au video.
Marriage is vitally important in Judaism, and refraining from marriage is considered unnatural. Marriage is not solely for the purpose of procreation, but is primarily for the purpose of love and companionship. See also Interfaith Marriages; Kosher Sex; ...
Ndoa ni muhimu sana katika dini ya Kiyahudi, na kujiepusha na ndoa ni kuchukuliwa kutokuwa sawa. Ndoa si tu kwa ajili ya uzazi, lakini kimsingi ni kwa madhumuni ya upendo na urafiki. Tazama pia Ndoa kati ya Madhehebu; Kosher Jinsia; Talaka.
The state or quality of being necessary to existence or continuance.
Hali au ubora wa kuwa muhimu kuwepo au kuendelea.
To free from deception, as by apprising of the real state of affairs.
Kuweka huru kutoka udanganyifu, kama kwa kueleza hali halisi ya mambo.
To make adroit or artful moves: manage affairs by strategy.
Kufanya hatua mahiri au janja: kusimamia mambo kwa mkakati.
A proposition taken for granted as a premise from which to reach a conclusion.
Pendekezo inayochukuliwa kwa nafasi na kuwa nguzo inayowezesha kufikia hitimisho.
The second coming of christ, depicted in detail in the book of revelations, when he will judge the living and the dead and determine where each individual will spend eternity: either in heaven or hell.
Ujio wa pili wa Kristo, yenye taswira kwa undani katika kitabu cha Ufunuo, wakati yeye atawahukumu wazima na wafu na kuamua mahali ambapo kila mtu atakaa milele: mbinguni au jehanamu.
A definite amount paid at stated periods in compensation for services or as an allowance.
Kiasi dhahiri kinacholipwa katika vipindi maalum kama fidia kwa ajili ya huduma au kama posho.
The formation of opinions by relying upon reason alone, independently of authority.
Kuunda maoni kwa kutegemea sababu peke yake, na ambayo ni huru.
Verb: Bind or compel (someone), esp. legally or morally. Adjective: Restricted to a particular function or mode of life.
Kitendo: Kumfunga au kumlazimisha (mtu), hasa kisheria au kimaadili. Kivumishi: Kukomeshwa katika kazi fulani au hali ya maisha.