Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The act or pratice of treating others unfairly, especially those who differ in national origin, race, religion, or social outlook.
Kitendo cha kuwatendea wengine isivyo haki, hasa wale ambao wanatofautiana katika asili ya kitaifa, rangi, dini, au mtazamo wa jamii.
The breast or the upper front of the thorax of a human being, especially of a woman.
Matiti au mbele ya juu ya kifua ya binadamu, hasa kwa mwanamke.
The portion of the whole audience that the speaker most wants to persuade.
Sehemu ya watazamaji ambao msemaji anataka kuwashawishi zaidi.
The use of language to defame, demean, or degrade individuals or groups.
Matumizi ya lugha katika kukashifu, kudharau, au kudunisha watu binafsi au makundi.
Judaism permits abortion in appropriate circumstances, and sometimes even requires abortion.
Uyahudi huipa kibali utoaji mimba katika hali sahihi, na wakati mwingine hata inahitaji utoaji mimba.
An abrupt or emphatic expression of thought or of feeling.
Usemi wa ghafla au wa mkazo wa mawazo au hisia.
Transmission of physical or mental qualities, diseases, etc. , from parent to offspring.
Kupitishwa kwa sifa za kimwili au kiakili, magonjwa, nk , kutoka kwa mzazi hadi watoto.
To add in addition to what has been added.
Kuongeza kwa kile kimeongezwa tayari.
To call into court, as a person indicted for crime, and demand whether he pleads guilty or not.
Kuita mahakamani, kama mtu alishtakiwa kwa uhalifu, na kudai kama yeye amepatikana na hatia au la.
Ridicule.
Kejeli.