Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A captain of a company of one hundred infantry in the ancient Roman army.
Kiongozi wa wanajeshi mia moja katika jeshi ya kale ya Kirumi.
Judaism has always accepted divorce as a fact of life, albeit an unfortunate one, and permits divorce for any reason, but discourages divorce. See also Marriage.
Uyahudi daima ulikubali talaka kama ukweli wa maisha, angalau kibahati mbaya, na hukubali talaka kwa sababu yoyote, lakini hukataza talaka. Tazama pia Ndoa.
The branch of theological science that treats of God.
Tawi la sayansi ya kiteolojia linalofunza kuhusu Mungu.
A nervous affection occurring typically in paroxysms of laughing and crying.
Hali ya wasiwasi inayotokea kawaida katika msukosuko wa kicheko na kilio.
To cover or fill the surface of.
Kufunika au kujaza eneo.
To subject to the action of smoke or fumes, especially for disinfection.
Kuweka kwenye moshi au mafusho, hasa kwa kutoa maambukizo.
In its original meaning, a "public work" or service done in the name of or on behalf of the people. Through the liturgy Christ our High Priest continues the work of our redemption through the Church's celebration of the Paschal Mystery by which he ...
Katika maana yake ya asili, " kazi ya umma" au huduma iliyofanywa kwa jina la au kwa niaba ya watu. Kupitia Liturujia Kristo Kuhani wetu Mkuu anaendelea na tendo la ukombozi wetu kwa njia ya maadhimisho ya Fumbo la Pasaka katika Kanisa ambapo yeye ametimiza ...
Older brother of Moses. Founder of the priesthood, and the first Kohein Gadol (High Priest). He helped Moses lead the Children of Israel out of Egyptian bondage. See also Rabbis, Priests, and Other Religious Functionaries - Kohein.
Kaka mkubwa wa Musa. Mwanzilishi wa ukuhani, na Kohein Gadol wa kwanza (Kuhani Mkuu). Yeye alisaidia Musa kuongoza wana wa Israeli kutoka utumwani Misri. Tazama pia Marabi, Mapadre, na Watendaji wengine Kidini-Kohein.
To distinguish, as a disease, by its characteristic phenomena.
Kupambanua, kama ugonjwa, kwa sifa zake.
Accidental, by chance.
Kiajali, bila kukusudia.