portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)account

A record or statement of receipts and expenditures, or of business transactions.

Swahili (SW)akaunti

Rekodi au kauli ya risiti na matumizi, au la shughuli za biashara.

Education; SAT vocabulary

English (EN)sinus

An opening or cavity.

Swahili (SW)mpenyo

Ufunguzi au kijishimo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)temple

The house of worship built in Jerusalem by Solomon as God's dwelling-place, for the exercise of the priestly rites of sacrifice in the Jewish religion. After the capture of Jerusalem in 70 A. D. By the Romans, the second temple was destroyed and never ...

Swahili (SW)hekalu

Nyumba za ibada iliyojengwa katika Yerusalemu na Solomoni kama makao ya Mungu, kwa ajili ya zoezi la ibada kikuhani ya sadaka katika dini ya Kiyahudi. Baada ya kutekwa kwa Yerusalemu mwaka 70 BK na Warumi, hekalu la pili liliharibiwa na halikujengwa upya ...

Religion; Catholic church

English (EN)antiseptic

Anything that destroys or restrains the growth of putrefactive micro-organisms.

Swahili (SW)antiseptiki

Chochote kinachoharibu au kuzuia ukuaji wa vimelea vilivyoambukizwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)originate

To cause or constitute the beginning or first stage of the existence of.

Swahili (SW)kuanza

Kusababisha au kuanzisha mwanzo au hatua ya kwanza ya kuwepo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)donator

One who makes a donation or present.

Swahili (SW)mfadhili

Mtu ambaye hutoa mchango au zawadi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)desert

To abandon without regard to the welfare of the abandoned.

Swahili (SW)kuacha

Kuachana bila kujali maslahi ya waliotelekezwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)definition

A translation of an unfamiliar word into understandable terms.

Swahili (SW)ufafanuzi

Tafsiri ya neno lisilo la kawaida ili liwe katika suala inayoeleweka.

Language; Public speaking

English (EN)peace

One of the fruits of the Holy Spirit mentioned in Galations 5:22-23 (736). Peace is a goal of Christian living, as indicated by Jesus who said "Blessed are the peacemakers, for they shall be called children of God" (1716). The Fifth Commandment requires us to ...

Swahili (SW)amani

Moja ya matunda ya Roho Mtakatifu yaliyotajwa katika Wagalatia 5:22-23 (736). Amani ni lengo la maisha ya Kikristo, kama ilivyotajwa na Yesu ambaye alisema "Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu" (1716). Amri ya Tano inatuhitaji sisi ...

Religion; Catholic church

English (EN)surrogate

One who or that which is substituted for or appointed to act in place of another.

Swahili (SW)mbadala

Yule au kile ambacho hubadilishwa kwa au huteuliwa kutenda katika nafasi ya kingine.

Education; SAT vocabulary