portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)peddler

One who travels from house to house with an assortment of goods for retail.

Swahili (SW)mchuuzi

Mtu ambaye husafari nyumba kwa nyumba na bidhaa kwa ajili ya uuzaji.

Education; SAT vocabulary

English (EN)parables

A characteristic feature of the teaching of Jesus. Parables are simple images or comparisons which confront the hearer or reader with a radical choice about his invitation to enter the Kingdom of God (546).

Swahili (SW)hadithi mifano

Kipengele cha tabia ya mafundisho ya Yesu. Hadithi hizo ni picha rahisi au ulinganisho ambao humwonyesha anayesikiliza au msomaji uchaguzi wenye msimamo mkali kuhusu mwaliko wake wa kuingia katika ufalme wa Mungu (546).

Religion; Catholic church

English (EN)conjunction

The state of being joined together, or the things so joined.

Swahili (SW)kushirikiana

Hali ya kuunganishwa pamoja, au vitu vilivyounganishwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)plausible

Seeming likely to be true, though open to doubt.

Swahili (SW)kuaminika

Kudai uwezekano wa kuwa kweli, ingawa inaweza kuwa na shaka.

Education; SAT vocabulary

English (EN)reliability

The trustworthiness of information critical to the credibility of a speech.

Swahili (SW)egemeo

Kutegemewa kwa taarifa muhimu iliyo ya maana katika uaminifu wa hotuba.

Language; Public speaking

English (EN)judgment

The faculty by the exercise of which a deliberate conclusion is reached.

Swahili (SW)hukumu

Kitivo cha zoezi ambacho huhitimisha makusudi ya kufikiwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)exonerate

To relieve or vindicate from accusation, imputation, or blame.

Swahili (SW)kuachilia

Kuondoa au kuweka huru kutoka kwa mashtaka, tuhuma, au lawama.

Education; SAT vocabulary

English (EN)archaeology

The branch of anthropology concerned with the systematic investigation of the relics of man.

Swahili (SW)akiolojia

Tawi la anthropolojia linalohusu uchunguzi wa utaratibu wa masalio ya binadamu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)exclamation

An abrupt or emphatic expression of thought or of feeling.

Swahili (SW)mshangao

Usemi wa ghafla au wa mkazo wa mawazo au hisia.

Education; SAT vocabulary

English (EN)consecrated life

A permanent state of life recognized by the Church, entered freely in response to the call of Christ to perfection, and characterized by the profession of the evangelical counsels of poverty, chastity, and obedience (914). See Vow.

Swahili (SW)maisha ya wakfu

Hali ya kudumu ya maisha inayotambuliwa na Kanisa, inayoingiwa kwa uhuru katika kuitikia wito wa Kristo kwa ukamilifu, na sifa ya kuwa na taaluma ya mashauri ya kiinjili ya umaskini, usafi wa moyo, na utii (914). Tazama Kiapo.

Religion; Catholic church