portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)itinerate

To wander from place to place.

Swahili (SW)kutanga

Kutanga kutoka mahali fulani hadi kwingine.

Education; SAT vocabulary

English (EN)coalescence

The act or process of coming together so as to form one body, combination, or product.

Swahili (SW)unganisho

Kitendo au mchakato wa kuja pamoja ili kuunda kitu kimoja, mchangayiko, au kizao.

Education; SAT vocabulary

English (EN)beliefs

Ideas we express about subjects that may explain our attitudes towards them.

Swahili (SW)imani

Mawazo tunayoeleza kuhusu mada ambayo yanaweza kuashiria mitazamo yetu kuyahusu.

Language; Public speaking

English (EN)action research

A research methodology designed to have subjects, in particular teachers, to investigate an element of a particular activity which the aim of determining whether the changes can produce effective and positive improvements, especially student learning.

Swahili (SW)utafiti wa vitendo

Mbinu ya utafiti iliyoundwa kuwa na masomo, haswa walimu, kuchunguza kipengele cha shughuli fulani ikiwa na lengo la kuamua kama mabadiliko yanaweza kuzalisha ufanisi na maboresho chanya, hasa kujifunza kwa mwanafunzi.

Education; Teaching

English (EN)resent

To be indignant at, as an injury or insult.

Swahili (SW)kukasirika

Kuchukizwa katika, kama kwa kuumia au tusi .

Education; SAT vocabulary

English (EN)extradition

The surrender by a government of a person accused of crime to the justice of another government.

Swahili (SW)kufukuza

Kujisalimisha kwa serikali ya mtu mtuhumiwa wa uhalifu kwenye mkono wa sheria ya serikali ingine.

Education; SAT vocabulary

English (EN)proverb

A brief, pithy saying, condensing in witty or striking form the wisdom of experience.

Swahili (SW)mithali

Msemo mfupi, uliotonesha hekima ya uzoefu kwa njia ya kuburudisha au wa kugusa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)creativity

An accepted feature of human language — deriving from the phenomenon of sentence generation — which accounts for speakers’ ability to produce and to understand a theoretically infinite number of sentences.

Swahili (SW)ubunifu

Kipengele kinachokubaliwa cha lugha ya binadamu - kinatokana na utunzi wa sentensi - ambacho huelezea uwezo wa wasemaji wa kuzalisha na kuelewa idadi kinadharia ya sentensi.

Language; Terminology

English (EN)providence

The dispositions by which God guides his creation toward its perfection yet to be attained; the protection and governance of God over all creation (302).

Swahili (SW)riziki

Tabia ambayo Mungu humwongoa kiumbe wake kuelekea kwenye ukamilifu wake ambayo bado haijapatikana; ulinzi na utawala wa Mungu juu ya viumbe vyote (302).

Religion; Catholic church

English (EN)origin

The beginning of that which becomes or is made to be.

Swahili (SW)asili

Mwanzo wa kile kinakuwa au kilichofanywa kuwa.

Education; SAT vocabulary