Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The practice of receiving and entertaining strangers and guests with kindness.
Kitendo cha kuwapokea na kuwaburidisha wageni kwa wema.
The feast which celebrates the manifestation to the world of the newborn Christ as Messiah, Son of God, and Savior of the world. The feast of Epiphany celebrates the adoration of Jesus by the wise men (magi) from the East, together with his baptism in the ...
Sikukuu ambayo inaadhimisha ishara katika ulimwengu wa Kristo aliyezaliwa kama Mesia, Mwana wa Mungu, na Mwokozi wa ulimwengu. Sikukuu ya Epifania inaadhimisha ibada ya Yesu na watu wenye busara (wataalamu wa nyota) kutoka Mashariki, pamoja na ubatizo wake ...
The place in which a consul transacts official business.
Mahali ambapo balozi hutekeleza biashara rasmi.
Anything granted or yielded, or admitted in response to a demand, petition, or claim.
Chochote kilichotolewa au kufikiwa, au alikiriwa katika kukabiliana na mahitaji, dua, au madai.
A going or moving backward or in a reverse direction.
Kwenda au kusonga nyuma au upande mkabala.
To get first sight or knowledge of, as something previously unknown or unperceived.
Kuwa wa kwanza kuona au kupata ufahamu, kama kitu ambacho awali hakikujulikana.
A related group of words containing a subject and a predicate and expressing a complete thought.
Kuhusiana na kundi la maneno lenye kiima na kiarifu na linaloeleza mawazo kamili.
One given to self-mention or who is constantly telling of his own views and experiences.
Mtu anayependa kujitaja au ambaye daima huzungumzia maoni yake mwenyewe na uzoefu.
That which is bestowed on or appointed to one from a higher power.
Kile ambacho hutawazwa kwa au huteuliwa kwa mtu mwenye mamlaka.
Any physical disease or disorder, especially a chronic or deep-seated one.
Ugonjwa wowote wa kimwili au machafuko, hasa iliyo sugu au mahututi.