Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The turning or revolving of a subject in the mind.
Kugeuka au kuzunguka kwa wazo katika akili.
Human appetites or desires which remain disordered due to the temporal consequences of original sin, which remain even after Baptism, and which produce an inclination to sin (1264, 1426, 2515).
Hamu za kibinadamu au tamaa ambazo hubaki kuvurugwa kutokana na madhara ya muda mfupi ya dhambi ya asili, ambazo hubaki hata baada ya Ubatizo, na ambazo huzalisha kupendelea dhambi (1264, 1426, 2515).
An emotion which is not in itself wrong, but which, when it is not controlled by reason or hardens into resentment and hate, becomes one of the seven capital sins. Christ taught that anger is an offense against the fifth commandment (1765, 1866, 2262).
Hisia ambayo si mbaya, lakini isipodhibitiwa na sababu au kubadilika kuwa chuki, inakuwa moja ya dhambi saba kuu. Kristo alifundisha kwamba hasira ni kosa dhidi ya amri ya tano (1765, 1866, 2262).
To overwhelm, or attempt to do so, by stern, haughty, or rude address or manner.
Kulemea, au kujaribu kufanya hivyo, na ukali, kiburi, au kukabiliana kifidhuli kimaongezi au tabia.
The process for identifying standards to use in comparison of practices, activities, institutions or equipment; standards my be used to identify minimal levels or for determining relative performances for comparison of subjects.
Mchakato kwa ajili ya kutambua viwango vya kutumia kwa kulinganisha mazoea, shughuli, taasisi au vifaa; viwango vinaweza kutumika kubaini viwango vya chini zaidi au kwa ajili ya kuamua matokeo kwa ajili ya kulinganisha masomo.
That can not be rectified or made amends for.
Kisichoweza kurekebishwa au kufanyiwa marekebisho.
Raised area in front of the audience where the speaker stands.
Eneo lililoinuliwa mbele ya watazamaji ambapo msemaji husimama.
Something said or done to create laughter or amusement.
Kitu kinachosemwa au kufanywa ili kuzua kicheko au pumbao.
To make void, as an act, by the enacting authority or a superior authority.
Kufanya batili, kama vile kitendo, kwa mamlaka uliopo au mamlaka kuu.
A sign or wonder, such as a healing or the control of nature, which can only be attributed to divine power. The miracles of Jesus were messianic signs of the presence of God's kingdom (547).
Ishara au ajabu, kama vile uponyaji au udhibiti wa mazingira, ambayo inaweza tu kuhusishwa na nguvu za Mungu. Miujiza ya Yesu yalikuwa ishara za kimasiya za kuwepo kwa ufalme wa Mungu (547).