portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)underman

To equip with less than the full complement of men.

Swahili (SW)kutothamini

Kuipa thamani ya chini zaidi ya inayostahili ya watu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)object

The way that you tell the judge that you think something the other party is doing or saying in the case is improper, unfair, or illegal.

Swahili (SW)pinga

Jinsi unamweleza jaji kwamba unafikiri kitu ambacho yule mwingine anafanya au kusema katika kesi ni mbaya, isiyo ya haki, au kinyume cha sheria.

Legal services; Family law

English (EN)emigrate

To go from one country, state, or region for the purpose of settling or residing in another.

Swahili (SW)kuhamia

Kwenda kutoka nchi moja, eneo, au mkoa kwa lengo la kutulia au kuishi kwingine.

Education; SAT vocabulary

English (EN)foreclose

To bar by judicial proceedings the equitable right of a mortgagor to redeem property.

Swahili (SW)kuzuia/ kukataza

Kuzuia na kesi za mahakama haki sawa wa rehani ili kukomboa mali.

Education; SAT vocabulary

English (EN)concession

Anything granted or yielded, or admitted in response to a demand, petition, or claim.

Swahili (SW)mkataba

Chochote kilichotolewa au kufikiwa, au alikiriwa katika kukabiliana na mahitaji, dua, au madai.

Education; SAT vocabulary

English (EN)Reuben

1) Son of Jacob (Israel). Ancestor of one of the tribes of Israel; 2) The tribe that bears his name.

Swahili (SW)Rubeni

1)Mwana wa Yakobo (Israeli). Babu wa moja ya makabila ya Israeli; 2) Kabila lenye jina lake.

Religion; Judaism

English (EN)inquisition

A court or tribunal for examination and punishment of heretics.

Swahili (SW)uchunguzi

Mahakama au kesi kwa ajili ya uchunguzi na adhabu ya waasi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)antique

Pertaining to ancient times.

Swahili (SW)kikale

Yanayohusu nyakati za kale.

Education; SAT vocabulary

English (EN)Canaanite

A member of one of the three tribes that dwelt in the land of Canaan, or western Palestine.

Swahili (SW)mkanaani

Mmoja wa makabila tatu waliokaa katika nchi ya Kanaani, au magharibi mwa Palestina.

Education; SAT vocabulary

English (EN)life

In Judaism, life is valued above almost all else, and almost any commandment can be violated to save a life.

Swahili (SW)maisha

Katika Uyahudi, maisha ni ya thamani ya juu zaidi ya mengine, na karibu amri yoyote ile inaweza kukiukwa ili kuokoa maisha.

Religion; Judaism