Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A disagreeable, harsh, or discordant sound or combination of sounds or tones.
Sauti au mchanganyiko wa sauti usiokubaliana, wenye ukali, au mfarakano.
The chief of the bishops of an ecclesiastical province in the Greek, Roman, and Anglican church.
Mkuu wa Maaskofu wa jimbo la Kanisa la Kigiriki, Kirumi, na kanisa la Anglikana.
The branch of zoology that treats of insects.
Tawi la zoolojia linalohusu wadudu.
Communicative actions necessary to maintain interpersonal relations in a small group.
Vitendo vya mawasiliano vilivyo muhimu ili kudumisha mahusiano katika kundi dogo.
To plunge or dip entirely under water or other fluid.
Kuingia au kuzamisha kabisa chini ya maji au kioevu kingine.
An emotion which is not in itself wrong, but which, when it is not controlled by reason or hardens into resentment and hate, becomes one of the seven capital sins. Christ taught that anger is an offense against the fifth commandment (1765, 1866, 2262).
Hisia ambayo si mbaya, lakini isipodhibitiwa na sababu au kubadilika kuwa chuki, inakuwa moja ya dhambi saba kuu. Kristo alifundisha kwamba hasira ni kosa dhidi ya amri ya tano (1765, 1866, 2262).
That part of the digestive tube below or behind the stomach, extending to the anus.
Ile sehemu ya bomba ya utumbo iliyoko chini au nyuma ya tumbo, na kupanua kwa njia ya haja kubwa.
To mix and work into a homogeneous mass, especially with the hands.
Kuchanganya na kutengeneza kuwa kinyunya, hasa kwa kutumia mikono.
A covenant or partnership of life between a man and woman, which is ordered to the well-being of the spouses and to the procreation and upbringing of children. When validly contracted between two baptized people, marriage is a sacrament (Matrimony) (1601).
Ahadi au ushirikiano wa maisha kati ya mwanamke na mwanaume, ambayo ni amri ya ustawi wa mume na mke na kwa uzazi na malezi ya watoto. Wakati mkataba kati ya watu wawili waliobatizwa huwekwa kuhalali, ndoa ni sakramenti (Ndoa) (1601).
To relinquish, especially temporarily, as a right or claim.
Kuachia, hasa kwa muda, kama haki au madai.