Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The state of progressive restoration to health and strength after the cessation of disease.
Hali ya marejesho kwa afya na nguvu baada ya kudhoofika kwa ugonjwa.
To place the products or merchandise of under a ban.
Kupiga marufuku bidhaa au vifaa.
A spiritual gift which enables one to know the purpose and plan of God; one of the seven gifts of the Holy Spirit (1831). Wisdom is also the name of one of the books of the Old Testament (120).
Zawadi ya kiroho ambayo huwezesha mtu kujua kusudi na mpango wa Mungu; moja ya zawadi saba za Roho Mtakatifu (1831). Hekima pia ni jina la moja ya vitabu vya Agano la Kale (120).
A related group of words containing a subject and a predicate and expressing a complete thought.
Kuhusiana na kundi la maneno lenye kiima na kiarifu na linaloeleza mawazo kamili.
To reject.
Kukataa.
Open robbery, as in war.
Wizi ulio wazi, kama katika vita.
Language awareness of things through the physical senses, esp.sight.
Uelewa wa lugha ya mambo kupitia hisia za kimwili, hasa ya kuona.
Exempt from error of judgment, as in opinion or statement.
Kuepuka kosa la hukumu, kama kwa maoni au taarifa.
The calling to mind of incidents within the range of personal knowledge or experience.
Kukumbuka matukio mbalimbali katika maarifa au uzoefu wa mtu binafsi.
purloin, is to steal something or make theft, rob somebody.
ni kuiba kitu au kufanya wizi, kuwaibia mtu