portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)eastern churches

Churches of the East in union with Rome (the Western Church), but not of Roman rite, with their own liturgical, theological, and administrative traditions, such as those of the Byzantine, Alexandrian or Coptic, Syriac, Armenian, Maronite, and Chaldean rites. ...

Swahili (SW)makanisa ya mashariki

Makanisa ya Mashariki katika muungano na Roma (Kanisa la Magharibi), lakini si ya ibada ya Kirumi, yaliyo na ibada yao ya kiliturujia, kiteolojia, na utawala wao wenyewe, kama vile yale ya Kibizantini, Iskanderia au Kikopti, Kisiria, Kiarmeni, Kimaroniti, na ...

Religion; Catholic church

English (EN)fray

To fret at the edge so as to loosen or break the threads.

Swahili (SW)kukwaruza

Kukwaruza kwenye ukingo ili kulegeza au kuvunja nyuzi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)fumigate

To subject to the action of smoke or fumes, especially for disinfection.

Swahili (SW)kupuliza moshi

Kuweka kwenye moshi au mafusho, hasa kwa kutoa maambukizo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)advantage

something which gives one a better or superior position than another

Swahili (SW)manufaa

kitu ambacho kinampa mtu nafasi bora au ya juu zaidi kuliko mwingine

Language; Access control systems

English (EN)catalogue

A listing of all the books, periodicals, and other resources owned by a library.

Swahili (SW)katalogi

Orodha ya vitabu, majarida, na rasilimali zingine zote zinazomilikiwa na maktaba.

Language; Public speaking

English (EN)blend

A combination of different types of teas for flavor consistency from season to season.

Swahili (SW)mchanganyiko

Aina mbalimbali za chai zikichanganywa kwa ajili ya ladha nzuri kutoka msimu moja hadi mwingine.

Food (other); Tea

English (EN)preexist

To exist at a period or in a state earlier than something else.

Swahili (SW)kuwepo awali

Kuwepo kwa muda fulani au katika hali mapema kuliko kitu kingine.

Education; SAT vocabulary

English (EN)preview

The part of the introduction that identifies the main points to be developed in the body of the speech and presents an overview of the speech to follow.

Swahili (SW)tangazo

Sehemu ya utangulizi inayobainisha pointi kuu za kuendelezwa katika hotuba na hutoa maelezo ya jumla ya hotuba inayofuata.

Language; Public speaking

English (EN)ethics

The branch of philosophy that deals with issues of right and wrong in human affairs.

Swahili (SW)maadili

Tawi la falsafa ambayo inahusika na masuala ya haki na batili katika mambo ya wanadamu.

Language; Public speaking

English (EN)possession

The having, holding, or detention of property in one's power or command.

Swahili (SW)umilikaji

Kuwa na, kushikilia, au kukamata mali na kuweka katika mamlaka ya mtu.

Education; SAT vocabulary