portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)religious institute

A society whose members, in accord with Church law, live a life consecrated to Christ and shared with one another by the public profession of the evangelical counsels of poverty, chastity, and obedience (925). See Consecrated Life.

Swahili (SW)taasisi ya kidini

Jamii ambayo wenyeji wake, kwa mujibu wa sheria ya Kanisa, huishi maisha ya wakfu kwa Kristo na pamoja mtu kwa mwingine kwa ukiri wa umma wa mashauri ya kiinjili ya umaskini, usafi wa moyo, na utii (925). Tazama Maisha ya Wakfu.

Religion; Catholic church

English (EN)international standard

A required or agreed level of quality or attainment that is available for consideration and use worldwide.

Swahili (SW)kiwangogezi cha kimataifa

Hatua inayotakiwa au kukubaliwa ya ubora au ufikio ambao unapatikana kwa ajili ya kuzingatia na kuweza kutumiwa duniani kote.

Language; Terminology

English (EN)vulgarity

Lack of refinement in conduct or speech.

Swahili (SW)ujuvi/ ufidhuli

Ukosefu wa ustaarabu katika mwenendo au matamshi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)crusade

Any concerted movement, vigorously prosecuted, in behalf of an idea or principle.

Swahili (SW)kampeni

Harakati yoyote, inayoendeshwa kwa nguvu, kwa niaba ya wazo au kanuni.

Education; SAT vocabulary

English (EN)species

A classificatory group of animals or plants subordinate to a genus.

Swahili (SW)aina

Kundi lililoainishwa la wanyama au mimea na ambalo liko chini ya jenasi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)literal translation

A rendering which preserves surface aspects of the message both semantically and syntactically, adhering closely to source text mode of expression.

Swahili (SW)tafsiri halisi

Utoaji ambayo hulinda masuala ya juu ya ujumbe kisemantiki na kisintaksi, ukiandamana kwa karibu na namna ya kujieleza katika maandishi asili.

Language; Translation

English (EN)disappear

To cease to exist, either actually or for the time being.

Swahili (SW)kupotea

Kusitisha kuwepo, kiukweli au kwa wakati huu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)undeceive

To free from deception, as by apprising of the real state of affairs.

Swahili (SW)kutodanganya

Kuweka huru kutoka udanganyifu, kama kwa kueleza hali halisi ya mambo.

Education; SAT vocabulary

English (EN)reticent

Habitually keeping silent or being reserved in utterance.

Swahili (SW)nyamaza

Kuweka kimya au kukosa kutamka.

Education; SAT vocabulary

English (EN)missile

Any object, especially a weapon, thrown or intended to be thrown.

Swahili (SW)kombora

Kitu chochote, hasa silaha, kinachotupwa au kinachonuiwa kutupwa.

Education; SAT vocabulary