Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Foolish.
Ujinga.
A spiritual gift which enables one to know the purpose and plan of God; one of the seven gifts of the Holy Spirit (1831). Wisdom is also the name of one of the books of the Old Testament (120).
Zawadi ya kiroho ambayo huwezesha mtu kujua kusudi na mpango wa Mungu; moja ya zawadi saba za Roho Mtakatifu (1831). Hekima pia ni jina la moja ya vitabu vya Agano la Kale (120).
To dissolve gradually and become liquid by absorption of moisture from the air.
Kupunguka hatua kwa hatua na kuwa maji kwa kulowa unyevu kutoka kwa hewa.
Both God's gift of created human life and His divine life given to us as sanctifying grace. Beyond its ordinary meaning of human life, Jesus used "life" to signify a share in his own divine Trinitarian existence, which becomes possible for those who respond ...
Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko ...
Loving others and actively desirous of their well-being.
Kuwapenda wengine na kutaka kikamilifu kuona ustawi wao.
To take, demand, or claim, especially presumptuously or without reasons or grounds.
Kuchukua, kuitisha, au kudai, hasa kwa kujikinai au bila sababu zozote.
The place in which a consul transacts official business.
Mahali ambapo balozi hutekeleza biashara rasmi.
One skilled in or occupied with financial affairs or operations.
Mtu wenye ujuzi katika au anayejihusisha na masuala au shughuli za kifedha.
To chew over again, as food previously swallowed and regurgitated.
Kutafuna tena, kama chakula kilichomezwa hapo awali na kikarudi.
Forms of speech collectively that are peculiar to the people of a particular district.
Aina ya maongezi kwa pamoja ambazo ni pekee kwa watu wa wilaya fulani.