portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)recitation

The act of reciting or repeating, especially in public and from memory.

Swahili (SW)usimulizi

Kitendo cha kusimulia au kurudia, hasa hadharani na kutoka kwa kumbukumbu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)marriage

A covenant or partnership of life between a man and woman, which is ordered to the well-being of the spouses and to the procreation and upbringing of children. When validly contracted between two baptized people, marriage is a sacrament (Matrimony) (1601).

Swahili (SW)ndoa

Ahadi au ushirikiano wa maisha kati ya mwanamke na mwanaume, ambayo ni amri ya ustawi wa mume na mke na kwa uzazi na malezi ya watoto. Wakati mkataba kati ya watu wawili waliobatizwa huwekwa kuhalali, ndoa ni sakramenti (Ndoa) (1601).

Religion; Catholic church

English (EN)frizzle

To cause to crinkle or curl, as the hair.

Swahili (SW)kufurukuta

Kusababisha kukunjana au kufurukuta, kama nywele .

Education; SAT vocabulary

English (EN)infamous

Publicly branded or notorious, as for vice, or crime.

Swahili (SW)sifa mbaya

Kukataliwa hadharani au kuwa mbaya, kama kwa hila, au uhalifu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)continuous assessment

Ongoing evaluation of work during a course in which the scores earned count toward the final evaluation.

Swahili (SW)tathmini ya kuendelea

Tathmini inayoendelea ya kazi wakati wa kozi ambayo alama zilizotozwa huhesabika katika tathmini ya mwisho .

Education; Teaching

English (EN)coalescence

The act or process of coming together so as to form one body, combination, or product.

Swahili (SW)unganisho

Kitendo au mchakato wa kuja pamoja ili kuunda kitu kimoja, mchangayiko, au kizao.

Education; SAT vocabulary

English (EN)textual function

The use of language in the creation of well-formed texts.

Swahili (SW)kazi kinakala

Matumizi ya lugha katika uundaji wa maandiko mazuri.

Language; Translation

English (EN)whisper

Attention-gaining device where presenter speaks with extremely low volume to one audience member.

Swahili (SW)mnong'ono

Njia ya kupata makini ambapo mtangazaji anaongea na sauti ya chini mno kwa mmoja wa watazamaji.

Language; Public speaking

English (EN)intestine

That part of the digestive tube below or behind the stomach, extending to the anus.

Swahili (SW)matumbo

Ile sehemu ya bomba ya utumbo iliyoko chini au nyuma ya tumbo, na kupanua kwa njia ya haja kubwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)product of translation

The finished target text resulting from the translation process.

Swahili (SW)matokeo ya tafsiri

Nakala lengwa linalotokana na mchakato wa tafsiri.

Language; Translation