Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The act or pratice of treating others unfairly, especially those who differ in national origin, race, religion, or social outlook.
Kitendo cha kuwatendea wengine isivyo haki, hasa wale ambao wanatofautiana katika asili ya kitaifa, rangi, dini, au mtazamo wa jamii.
An officer appointed to reside in a foreign city, chiefly to represent his country.
Afisa aliyeteuliwa kuishi katika mji wa kigeni, hasa kwa kuwakilisha nchi yake.
The state of having passed out of the memory or of being utterly forgotten.
Hali ya kuwa nje ya kumbukumbu au ya kusahaulika kabisa.
Government by departments of men transacting particular branches of public business.
Serikali kupitia idara ya watu shughuli zake wanaoshughulikia matawi fulani ya umma kibiashara.
Marriage is vitally important in Judaism, and refraining from marriage is considered unnatural. Marriage is not solely for the purpose of procreation, but is primarily for the purpose of love and companionship. See also Interfaith Marriages; Kosher Sex; ...
Ndoa ni muhimu sana katika dini ya Kiyahudi, na kujiepusha na ndoa ni kuchukuliwa kutokuwa sawa. Ndoa si tu kwa ajili ya uzazi, lakini kimsingi ni kwa madhumuni ya upendo na urafiki. Tazama pia Ndoa kati ya Madhehebu; Kosher Jinsia; Talaka.
That which is made as a likeness or copy.
Kile kinachoundwa kwa mfano wa au nakala.
The violation of official duty, lawful right, or a legal obligation.
Ukiukaji wa wajibu rasmi, haki halali, au wajibu wa kisheria.
The process of evaluating and measure an individuals achievement; typically done with assessment tools such as assignments or examinations.
Mchakato wa kutathmini na kupima mafanikio ya watu binafsi; kawaida hufanywa kwa zana za tathmini kama vile kazi au mitihani.
The claim that the indissoluble marriage bond validly entered into between a man and a woman is broken. A civil dissolution of the marriage contract (divorce) does not free persons from a valid marriage before God; remarriage would not be morally licit (2382; ...
Madai kwamba ndoa dhamana kihalali ilioko kati ya mwanamke na mwanaume imevunjwa. Kuvunjika kisheria kwa mkataba wa ndoa (talaka) haiweki watu huru kutokana na ndoa halali mbele za Mungu; kuoa tena si halali kimaadili (2382; taz 1650).
Stimulating to thought or reflection.
Kuchochea kwa mawazo au kutafakari.