Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Having or showing devotion to the acquisition of knowledge.
Kuwa na au kuonyesha kujitoa kwa upatikanaji wa ufahamu.
To examine for the correction of errors, or for the purpose of making changes.
Kuchunguza kwa marekebisho ya makosa, au kwa lengo la kufanya mabadiliko.
One who or that which is substituted for or appointed to act in place of another.
Yule au kile ambacho hubadilishwa kwa au huteuliwa kutenda katika nafasi ya kingine.
To relieve or vindicate from accusation, imputation, or blame.
Kuondoa au kuweka huru kutoka kwa mashtaka, tuhuma, au lawama.
To make the date of any writing later than the real date.
Kufanya tarehe ya kuandika lolote lile liwe baadaye kuliko tarehe halisi.
The property which a wife brings to her husband in marriage.
Mali ambayo mke huleta mumewe katika ndoa.
Self-restraint with respect to desires, appetites, and passion.
Kujidhibiti kutokana na hitaji, tamaa, na hamu.
E-learning comprises all forms of electronically supported learning and teaching. The Information and communication systems, whether networked or not, serve as specific media to implement the learning process.
Kujifunza kwenye mtandao kunajumuisha aina zote za elimu ya kielektroniki katika kujifunza na kufundisha. Mifumo ya habari na mawasiliano, iwe kwenye mtandao au la, hutumika kama chombo maalum cha kutekeleza mchakato wa kujifunza.
Proposed or adopted course or principle of action that controls the methods or ways of communication or expression.
Yaliopendekezwa au kozi iliyopitishwa au kanuni ya hatua inayodhibiti mbinu au njia za mawasiliano au kujieleza.
Judaism has always accepted divorce as a fact of life, albeit an unfortunate one, and permits divorce for any reason, but discourages divorce. See also Marriage.
Uyahudi daima ulikubali talaka kama ukweli wa maisha, angalau kibahati mbaya, na hukubali talaka kwa sababu yoyote, lakini hukataza talaka. Tazama pia Ndoa.