Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A declaration or memorandum of agreement less solemn and formal than a treaty.
Tamko au mkataba wa makubaliano isiyo makini sana na rasmi kuliko mkataba.
To use, control, or manage, as a weapon, or instrument, especially with full command.
Kutumia, kudhibiti, au kusimamia, kama silaha, au chombo, hasa kwa amri kamili.
Small in quantity or importance.
Ndogo kwa kiasi au umuhimu .
Any object, especially a weapon, thrown or intended to be thrown.
Kitu chochote, hasa silaha, kinachotupwa au kinachonuiwa kutupwa.
The body of men constituting the official advisors of the executive head of a nation.
Kikundi cha watu ambao ni washauri rasmi wa kiongozi wa taifa.
A shift between source text grammar and target text lexis, or vice versa.
Mabadiliko kati ya sarufi ya nakala asilia na nakala lengo, au kinyume chake.
That which moves to action, or serves as an incentive or stimulus.
Kile ambacho huweka katika hali ya kutenda, au hutumika kama motisha au kichocheo.
A norm of moral and/or religious action; above all, the Ten Commandments given by God to Moses. Jesus summarized all the commandments in the twofold command of love of God and love of neighbor (2052).
Hatua ya kimaadili na/au kidini; juu ya yote, amri kumi ambayo Musa alipewa na Mungu. Yesu alijumuisha amri zote katika amri mbili ya upendo kwa Mungu na upendo kwa jirani (2052).
Unwillingness to brook delays or wait the natural course of things.
Kutotaka kuchelewa au kusubiri mambo yafanyike kwa wakati wake.
To recall the identity of (a person or thing).
Kukumbuka utambulisho wa (mtu au kitu).