portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)inlet

A small body of water leading into a larger.

Swahili (SW)ghuba

Eneo dogo la maji linaoelekea katika eneo kubwa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)process

A systematic series of actions that leads to a specific result or product.

Swahili (SW)mchakato

Mfululizo wa utaratibu wa vitendo ambayo huelekeza kwa matokeo maalum au kizao.

Language; Public speaking

English (EN)object

The way that you tell the judge that you think something the other party is doing or saying in the case is improper, unfair, or illegal.

Swahili (SW)pinga

Jinsi unamweleza jaji kwamba unafikiri kitu ambacho yule mwingine anafanya au kusema katika kesi ni mbaya, isiyo ya haki, au kinyume cha sheria.

Legal services; Family law

English (EN)domineer

To rule with insolence or unnecessary annoyance.

Swahili (SW)kutawala kwa dhulma

Kutawala kwa dhulma au kero isiyohitajika.

Education; SAT vocabulary

English (EN)exodus

God's saving intervention in history by which he liberated the Hebrew people from slavery in Egypt, made a covenant with them, and brought them into the Promised Land. The Book of Exodus, the second of the Old Testament, narrates this saving history (62). The ...

Swahili (SW)kutoka

Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). ...

Religion; Catholic church

English (EN)localization

A term in commercial translation referring to making a product linguistically and culturally appropriate to the target country and language.

Swahili (SW)uenyeji

Neno linalotumika katika tafsiri kibiashara linalomaanisha kuunda lugha kiisimu na kitamaduni inayofaa katika nchi na lugha lengwa.

Language; Translation

English (EN)Hebrew

A semitic language used by the Jewish people. It is one of the world's oldest living languages.

Swahili (SW)Kiyahudi

Lugha Kisemiti inayotumiwa na Wayahudi. Ni moja ya lugha kongwe zaidi na iliyo hai duniani.

Language; Endangered languages

English (EN)tutelage

The act of training or the state of being under instruction.

Swahili (SW)ufundisho

Kitendo cha mafunzo au hali ya kuwa katika mafundisho.

Education; SAT vocabulary

English (EN)sufficiency

An ample or adequate supply.

Swahili (SW)kujitosheleza

Ugavi mwingi au wa kutosha.

Education; SAT vocabulary

English (EN)recoil

To start back as in dismay, loathing, or dread.

Swahili (SW)nywea

Kusonga nyuma kama katika kusikitishwa, kuchukizwa, au hofu.

Education; SAT vocabulary