Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
The right or privilege of voting.
Haki au uwezo wa kupiga kura.
To convey, remove, or cause to pass from one person or place to another.
Kufikisha , kuondoa, au kusababisha kupita kutoka kwa mtu mmoja au mahali hadi kwingine.
An essential element of the Sacrament of Penance in which the priest, by the power entrusted to the Church by Christ, pardons the sin(s) of the penitent (1424, 1442, 1449, 1453, 1480).
Nyenzo muhimu ya Sakramenti ya Kitubio ambapo kuhani, kwa uwezo aliokabidhiwa na Kanisa na Kristo, husamehe dhambi ya kurejea kwa Mwenyezi Mungu (1424, 1442, 1449, 1453, 1480).
A nervous affection occurring typically in paroxysms of laughing and crying.
Hali ya wasiwasi inayotokea kawaida katika msukosuko wa kicheko na kilio.
In Judaism, death is not a tragedy, even when it occurs early in life or through unfortunate circumstances. Death is a natural process.
Katika Uyahudi, kifo sio janga, hata wakati hutokea mapema katika maisha au kwenye hali ya bahati mbaya. Kifo ni jambo la kawaida.
The poisonous fluid that certain animals secrete.
Maji ya sumu yanayopatikana kwa baadhi ya wanyama.
The loudness or softness of the speaker's voice.
Ukubwa au udogo wa sauti ya msemaji.
To reject.
Kukataa.
That which is of the highest possible excellence or eminence.
Kile kilicho na ubora au ukuu zaidi.
The arrangement of composed type, or the appearance of printed matter.
Mpangilio wa chapa iliyotungwa, au muonekano wa kazi iliyochapishwa.