portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)piety

One of the seven gifts of the Holy Spirit which leads one to devotion to God (1831). Filial piety connotes an attitude of reverence and respect by children toward their parents (2215). Piety also refers to the religious sense of a people, and its expression ...

Swahili (SW)ucha Mungu

Moja ya zawadi saba ya Roho Mtakatifu ambayo humwongoza mtu katika ibada kwa Mungu (1831). Uaminifu kati ya ndugu unaoonyesha mwenendo wa utiifu na heshima ambao watoto huelekeza kwa wazazi wao (2215). Ucha Mungu pia inahusu hisia za kidini za watu, na usemi ...

Religion; Catholic church

English (EN)faith

Both a gift of God and a human act by which the believer gives personal adherence to God who invites his response, and freely assents to the whole truth that God has revealed. It is this revelation of God which the Church proposes for our belief, and which we ...

Swahili (SW)imani

Ni kipawa cha Mungu na kitendi cha binadamu ambacho muumini hutoa uzingatiaji binafsi kwa Mungu ambaye anakaribisha majibu yake, na kwa uhuru anakubali ukweli wote ambao Mungu umebaini. Ni ufunuo huu wa Mungu ambao Kanisa inapendekeza kwa imani yetu, na ambao ...

Religion; Catholic church

English (EN)disciple

One who believes the teaching of another, or who adopts and follows some doctrine.

Swahili (SW)mfuasi

Mtu ambaye anaamini mafundisho ya mwingine, au ambaye huchukua na kufuata mafundisho fulani.

Education; SAT vocabulary

English (EN)benchmarking

The process for identifying standards to use in comparison of practices, activities, institutions or equipment; standards my be used to identify minimal levels or for determining relative performances for comparison of subjects.

Swahili (SW)kiwangogezi

Mchakato kwa ajili ya kutambua viwango vya kutumia kwa kulinganisha mazoea, shughuli, taasisi au vifaa; viwango vinaweza kutumika kubaini viwango vya chini zaidi au kwa ajili ya kuamua matokeo kwa ajili ya kulinganisha masomo.

Education; Teaching

English (EN)bureaucracy

Government by departments of men transacting particular branches of public business.

Swahili (SW)urasimu

Serikali kupitia idara ya watu shughuli zake wanaoshughulikia matawi fulani ya umma kibiashara.

Education; SAT vocabulary

English (EN)local area network (LAN)

Network of computers covering a small area, typically a building or group of buildings.

Swahili (SW)mtandao wa eneo (LAN)

Mtandao wa kompyuta katika eneo dogo, kwa kawaida jengo au kikundi cha majengo.

Education; Teaching

English (EN)abstract

A summary of a magazine or journal article, written by someone other than the original author.

Swahili (SW)dhahania

Muhtasari wa gazeti au makala ya jarida, ulioandikwa na mtu mwingine, asiye mwandishi wa asili.

Language; Public speaking

English (EN)object

The way that you tell the judge that you think something the other party is doing or saying in the case is improper, unfair, or illegal.

Swahili (SW)pinga

Jinsi unamweleza jaji kwamba unafikiri kitu ambacho yule mwingine anafanya au kusema katika kesi ni mbaya, isiyo ya haki, au kinyume cha sheria.

Legal services; Family law

English (EN)hoarse

Having the voice harsh or rough, as from a cold or fatigue.

Swahili (SW)kupwelea

Kuwa na sauti kali au mbaya, kama inayotokana na baridi au uchovu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)recognize

To recall the identity of (a person or thing).

Swahili (SW)kutambua

Kukumbuka utambulisho wa (mtu au kitu).

Education; SAT vocabulary