portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)dispensation

That which is bestowed on or appointed to one from a higher power.

Swahili (SW)fadhila

Kile ambacho hutawazwa kwa au huteuliwa kwa mtu mwenye mamlaka.

Education; SAT vocabulary

English (EN)reliability

The trustworthiness of information critical to the credibility of a speech.

Swahili (SW)egemeo

Kutegemewa kwa taarifa muhimu iliyo ya maana katika uaminifu wa hotuba.

Language; Public speaking

English (EN)life

Both God's gift of created human life and His divine life given to us as sanctifying grace. Beyond its ordinary meaning of human life, Jesus used "life" to signify a share in his own divine Trinitarian existence, which becomes possible for those who respond ...

Swahili (SW)maisha

Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko ...

Religion; Catholic church

English (EN)fray

To fret at the edge so as to loosen or break the threads.

Swahili (SW)kukwaruza

Kukwaruza kwenye ukingo ili kulegeza au kuvunja nyuzi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)human person

The human individual, made in the image of God; not some thing but some one, a unity of spirit and matter, soul and body, capable of knowledge, self-possession, and freedom, who can enter into communion with other persons--and with God (357, 362; cf. 1700). ...

Swahili (SW)binadamu

Mtu binafsi, aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu; si kitu fulani bali mtu, umoja wa roho na nyenzo, nafsi na mwili, uwezo wa maarifa, taratibu, na uhuru, ambaye anaweza kuingia katika ushirika na watu wengine - na Mungu (357, 362; cf. 1700). Binadamu anahitaji ...

Religion; Catholic church

English (EN)trisect

To divide into three parts, especially into three equal parts.

Swahili (SW)kugawanya mara tatu

Kugawanya katika sehemu tatu, hasa katika sehemu tatu sawa.

Education; SAT vocabulary

English (EN)beginning of day

A day on the Jewish calendar begins at sunset. When a date is given for a Jewish holiday, the holiday actually begins at sundown on the preceding day. See When Holidays Begin.

Swahili (SW)mwanzo wa siku

Siku kwenye kalenda ya Wayahudi huanza baada ya jua kutua. Wakati tarehe anapewa kwa ajili ya likizo ya Wayahudi, likizo hiyo haswa huanza baada ya jua kutua ya siku iliyotangulia. Tazama Wakati Likizo Huanza.

Religion; Judaism

English (EN)birth control

Jewish law permits certain methods of birth control in appropriate circumstances.

Swahili (SW)kupanga uzazi

Sheria ya Uyahudi hukubali mbinu fulani ya kupanga uzazi katika mazingira sahihi.

Religion; Judaism

English (EN)belle

A woman who is a center of attraction because of her beauty, accomplishments, etc.

Swahili (SW)kipusa

Mwanamke anayevutia kwa sababu ya uzuri wake, mafanikio, nk.

Education; SAT vocabulary

English (EN)shriek

A sharp, shrill outcry or scream, caused by agony or terror.

Swahili (SW)ukwenzi

Kilio kikali, chenye mkwaruzo au kupiga kelele, kinachosababishwa na maumivu makali au hofu.

Education; SAT vocabulary