portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)ingenious

Evincing skill, originality, or cleverness, as in contrivance or arrangement.

Swahili (SW)werevu

Kuonyesha ujuzi, uhalisi, au ujanja, kama ilivyo katika mpango au mpangilio.

Education; SAT vocabulary

English (EN)lamentation

The mourning of the virgin mary and christ’s followers over jesus’ body after his crucifixion and the removal of his body or its descent from the cross, which is also called the deposition.

Swahili (SW)maombolezi

Maombolezo ya bikira Maria na wafuasi wa Kristo kwa sababu ya mwili wa Yesu baada ya kusulubiwa na kuondolewa kwa mwili wake au kuteremshwa kwake kutoka kwa msalaba, ambayo pia hujulikana utuaji.

Art history; Visual arts

English (EN)reorganize

To change to a more satisfactory form of organization.

Swahili (SW)kubadilisha

Kubadilisha kuwa katika mpangilio unaoridhisha zaidi.

Education; SAT vocabulary

English (EN)dispel

To drive away by or as by scattering in different directions.

Swahili (SW)kuondoa/ kufukuza

Kufukuza mbali au kutawanyisha katika njia tofauti.

Education; SAT vocabulary

English (EN)aspire

To have an earnest desire, wish, or longing, as for something high and good, not yet attained.

Swahili (SW)kutamani

Kuwa na hamu ya kweli, kutaka, au matamanio, kama kwa kitu kizuri, na ambayo bado haijapatikana.

Education; SAT vocabulary

English (EN)arrogant

Unduly or excessively proud, as of wealth, station, learning, etc.

Swahili (SW)majivuno

Kuwa na kiburi kupita kiasi, kama katika utajiri, kituo, kujifunza, nk.

Education; SAT vocabulary

English (EN)subpoint

The major division within a speech’s main points.

Swahili (SW)wazo dogo

Mgawanyiko mkubwa katika pointi kuu ya hotuba.

Language; Public speaking

English (EN)Canaanite

A member of one of the three tribes that dwelt in the land of Canaan, or western Palestine.

Swahili (SW)mkanaani

Mmoja wa makabila tatu waliokaa katika nchi ya Kanaani, au magharibi mwa Palestina.

Education; SAT vocabulary

English (EN)orthodoxy

Acceptance of the common faith.

Swahili (SW)kukubali

Kukubalika kwa imani ya kawaida.

Education; SAT vocabulary

English (EN)venerable

Meriting or commanding high esteem.

Swahili (SW)kuheshimiwa

Kustahili au kufaa kupewa heshima kubwa.

Education; SAT vocabulary