Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
A word or phrase that connects the ideas of a speech and indicates the relationship between them.
Neno au maneno ambayo yanaunganisha mawazo ya hotuba na yanaonyesha uhusiano kati yao.
The recovery of what is mortgaged or pledged, by paying the debt.
Kuokoa kile kilichowekwa rehani au kuahidiwa, kwa kulipa madeni.
A radical reorientation of the whole life away from sin and evil, and toward God. This change of heart or conversion is a central element of Christ's preaching, of the Church's ministry of evangelization, and of the Sacrament of Penance and Reconciliation ...
Mabadiliko makubwa ya maisha kutoka kwa dhambi na uovu, na kuelekea upande wa Mungu. Mabadiliko haya ya moyo au kubadilika ni suala muhimu sana katika mahubiri ya Kristo, wa kazi ya Kanisa ya uinjilishaji, na ya Sakramenti ya Kitubio na Upatanisho (1427, ...
That form of the numeral that shows the order of anything in a series, as first, second, third.
Ile namna kitarakimu inayoonyesha utaratibu wa chochote katika mfululizo, kama kwanza, pili, tatu.
Government by departments of men transacting particular branches of public business.
Serikali kupitia idara ya watu shughuli zake wanaoshughulikia matawi fulani ya umma kibiashara.
An essential element of the Sacrament of Penance in which the priest, by the power entrusted to the Church by Christ, pardons the sin(s) of the penitent (1424, 1442, 1449, 1453, 1480).
Nyenzo muhimu ya Sakramenti ya Kitubio ambapo kuhani, kwa uwezo aliokabidhiwa na Kanisa na Kristo, husamehe dhambi ya kurejea kwa Mwenyezi Mungu (1424, 1442, 1449, 1453, 1480).
The science that treats of computation of time or of investigation and arrangement of events.
Sayansi inayohusisha kuhesabu wakati au uchunguzi na mpangilio wa matukio.
To make better or improve, as in quality or social or physical condition.
Kufanya bora au kuboresha, kama katika ubora au hali ya kijamii au kimwili.
Human appetites or desires which remain disordered due to the temporal consequences of original sin, which remain even after Baptism, and which produce an inclination to sin (1264, 1426, 2515).
Hamu za kibinadamu au tamaa ambazo hubaki kuvurugwa kutokana na madhara ya muda mfupi ya dhambi ya asili, ambazo hubaki hata baada ya Ubatizo, na ambazo huzalisha kupendelea dhambi (1264, 1426, 2515).
Arrangements provided to ensure the opportunity for individuals to participate in an institution; often refers to the Arrangements offered to students with disabilities to ensure maximum opportunity.
Mipango zinazotolewa ili kuhakikisha fursa kwa watu binafsi kushiriki katika taasisi; mara nyingi inahusu mipango kutolewa kwa wanafunzi wenye ulemavu ili kuhakikisha nafasi ya upeo.