Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
An action or mode of conduct that excites resentment.
Kitendo au utaratibu wa maadili ambao unaleta chuki.
Language awareness of things through the physical senses, esp.sight.
Uelewa wa lugha ya mambo kupitia hisia za kimwili, hasa ya kuona.
The having, holding, or detention of property in one's power or command.
Kuwa na, kushikilia, au kukamata mali na kuweka katika mamlaka ya mtu.
To cease to resist.
Kusitisha kupinga.
One who advocates reconstruction of society by collective ownership of land and capital.
Mtu anayetetea ujenzi wa jamii na umiliki wa pamoja wa nchi na mji mkuu.
The right or privilege of voting.
Haki au uwezo wa kupiga kura.
Both God's gift of created human life and His divine life given to us as sanctifying grace. Beyond its ordinary meaning of human life, Jesus used "life" to signify a share in his own divine Trinitarian existence, which becomes possible for those who respond ...
Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko ...
A record of events in their chronological order, year by year.
Kumbukumbu ya matukio katika utaratibu wao kikronolojia, mwaka baada ya mwaka.
To smear over, as with any oily or sticky substance.
Kutandaza juu ya, hasa kutumia kifaa chochote chenye mafuta au kinachonata.
One who uses or engages the services of other persons for pay.
Mtu ambaye hutumia huduma ya watu wengine kwa ajili ya kulipa.