portrait

Winnie Ng'imor

Kapenguria, Kenya

Translate From: English (EN)

Translate To: Swahili (SW)

18,514

Words Translated

0

Terms Translated

Winnie’s Selected Translation Work

Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.

English (EN)embody

To express, formulate, or exemplify in a concrete, compact or visible form.

Swahili (SW)kuwakilisha

Kueleza, kuunda, au kuonyesha katika hali dhabiti, imara au fomu inayoonekana.

Education; SAT vocabulary

English (EN)fete

French for a festival or entertainment (typically, though not always, of a large scale).

Swahili (SW)sherehe

Tamasha au burudani kwa Kifaransa (kawaida, ingawa si ​​kila wakati, kwa kiwango kikubwa).

Art history; Visual arts

English (EN)alien

One who owes allegiance to a foreign government.

Swahili (SW)mgeni

Mtu ambaye anatii serikali ya kigeni.

Education; SAT vocabulary

English (EN)hygiene

The branch of medical science that relates to improving health.

Swahili (SW)usafi

Tawi la matibabu ya kisayansi linalohusiana na kuboresha afya.

Education; SAT vocabulary

English (EN)remonstrance

Reproof.

Swahili (SW)kukaripia

Kuonya mtu makosa yake.

Education; SAT vocabulary

English (EN)tyro

One slightly skilled in or acquainted with any trade or profession.

Swahili (SW)mwanagenzi

Mtu wenye ujuzi mdogo katika au kuelewa biashara yoyote au taaluma.

Education; SAT vocabulary

English (EN)possession

The having, holding, or detention of property in one's power or command.

Swahili (SW)umilikaji

Kuwa na, kushikilia, au kukamata mali na kuweka katika mamlaka ya mtu.

Education; SAT vocabulary

English (EN)expediency

Fitness to meet the requirements of a particular case.

Swahili (SW)manufaa

Kufaa katika kukidhi mahitaji ya hali fulani.

Education; SAT vocabulary

English (EN)problem-solving small group

A small group formed to solve a particular problem.

Swahili (SW)kundi dogo la kutatua matatizo

Kundi dogo sumu lililoundwa ili kutatua tatizo fulani.

Language; Public speaking

English (EN)superintendent

One who has the charge and direction of, especially of some work or movement.

Swahili (SW)msimamizi

Yule ambaye anasimamia na kuelekeza, hasa kazi au harakati.

Education; SAT vocabulary