Terms and text shown below represent Winnie’s contributions to TermWiki.com, a free terminology website and knowledge resource for the translation community.
Judaism permits abortion in appropriate circumstances, and sometimes even requires abortion.
Uyahudi huipa kibali utoaji mimba katika hali sahihi, na wakati mwingine hata inahitaji utoaji mimba.
To offer to (somebody) an inducement to do wrong.
Kumpa kwa (mtu) kishawishi cha kufanya vibaya.
A virtual environment that allows people to communicate instantaneously over the Internet; typically the communications are sent by typing messages that are relayed to all people in the chat room, but some chat rooms allow communication via voice or video.
Mazingira pepe ambayo yanaruhusu watu kuwasiliana papo hapo kwenye mtandao; kawaida mawasiliano hutumwa kwa kuandika jumbe zinazotumwa kwa watu wote katika chumba cha gumzo, lakini baadhi vyumba vya gumzo huruhusu mawasiliano kupitia sauti au video.
A collection of extracts from the writings of various authors.
Mkusanyiko wa dondoo kutoka maandiko ya waandishi mbalimbali.
A person or thing connected with another, usually in some relation of helpfulness.
Mtu au kitu kinachoshikamana na nyingine, kwa kawaida katika uhusiano wa usaidizi.
Capable of receiving injuries.
Ulio na uwezo wa kupata majeruhi.
To emit or send forth sparks or little flashes of light.
Kutoa au kupeleka cheche au miangaza midogo.
Revelations made in the course of history which do not add to or form part of the deposit of faith, but rather may help people live out their faith more fully (67). Some of these private revelations have been recognized by the authority of the Church, which ...
Ishara ziliyofanywa katika historia ambazo haziongezi wala si sehemu ya amana ya imani, bali zinaweza kusaidia watu kuishi katika imani yao kikamilifu zaidi (67). Baadhi ya ishara hizi binafsi zimetambuliwa na mamlaka ya Kanisa, ambao hawawezi kukubali zile ...
A substance possessing or reputed to possess curative or remedial properties.
Kifaa kilicho na au kinachoaminika kumiliki tiba au sifa za kutibu.
To relinquish, especially temporarily, as a right or claim.
Kuachia, hasa kwa muda, kama haki au madai.